Benki gani nzuri kwa ajili ya kampuni?

Benki gani nzuri kwa ajili ya kampuni?

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
Kuna kampuni ya kilimo inaanzishwa mwisho wa mwaka huu. Hii kampuni inategemewa kuwa kampuni kubwa sana hapa afrika mashariki na afrika.

Hii kampuni inataka kufungua akaunti kwenye benki yeyote yenye vigezo vifuatavyo:

- Urahisi wa kuweka na kuchukua pesa kwa wakati.

- Upatikanaji wa mikopo nafuu(yenye riba ndogo) na kwa wakati.

- Urahisi wa kufanya shuguli zote za kibenki kwa urahisi ndani na nje ya nchi.

- "Any special features favoring the companies"

Nawasilisha.
 
Si rahisi bank yeyote kumeet ur target and demand, wewe ndio unapaswa kumeet requirements za bank unayotaka kufunguwa company account.

Kama nia ni kufanya biashara halali nenda kafunguwe CRDB.
 
Nenda au visit website yao,Equity Bank Tanzania.
Sijui kama itadumu sana hii.
Wamenipa yote hayo.
Lakini siku zote huwa nacheka nasema labda kwa kuwa sio banker-sijui yatokanayo.
kikawaida bank huwa zinasubiri 5-7 clearance ya cheque ukii deposit .
Hili ni zuri,lakini vitu vingine inabidi uwe na exclusions .
Hivi kama niko kwenye bank for 10 yrs na BOT wamenipa cheque ya 1m na mimi huwa na deposit 100M kwa mwezi.
Kweli utasema ni mpaka iwe cleared ??wakati naakiwa ku delive kitu cha 500K umezishikilia?si bora unitoze fee unayotegemea kupata kwa kuka nazo?
Au aya kama nimelipwa na World bank-kweli nao ni wa utata?
Kwa kampuni kama ya kwako ulivyoiongelea,wajaribu au ongea nao.
 
NMB, wanasupport sana hiyo Agri Business
 
TIB inahusika sana kwa kutoa mikopo mikubwa kwa kilimo,mkifungua account kwao na kuandaa proposal inayokubalika, mtafika mbali kiwango cha chini kabisa wanatoa mil 50
 
TIB inahusika sana kwa kutoa mikopo mikubwa kwa kilimo,mkifungua account kwao na kuandaa proposal inayokubalika, mtafika mbali kiwango cha chini kabisa wanatoa mil 50
hivi inawezekana kufungua account kwenye investment bank?
 
Exim bank ndo mpango mzima !! Fanya kauta fiti kadogo tu utagundua
 
TIB inahusika sana kwa kutoa mikopo mikubwa kwa kilimo,mkifungua account kwao na kuandaa proposal inayokubalika, mtafika mbali kiwango cha chini kabisa wanatoa mil 50

Inachukua muda gani hadi kupewa hyo pesa??
 
Back
Top Bottom