mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,925
- 8,444
Mkuu nenda benki ya mama mboga Equity Bank ni benki kubwa kutoka kwa jirani zetu hapo Kenya na haina longolongo tatizo ni kuwa haipo sehemu nyingi,hapo nyuma ilikuwa Stambic Bank lakini sasa tokea wameiEscrow ni kama imekumbwa na laana ,lakini bado kwangu mimi naona ndio benki bora kwa huduma za makampuni.