haya sishangai maana jina lako linatosha kunipa picha ya jinsi ulivyo. unadhani ni jambo gani la msingi unaloweza kujadili wewe? nenda kwenye facebook na udaku, hapa tunahitaji busara katika kujibu au kama huna jibu kaa kimya. au nyinyi ndo watoto wa vigogo ambao hamjapata msoto kutafta kazi? mnaotumia vimemo?
Tuache watoto wa walalahoi tuelekezane taratibu. shame upon you!!.