National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,179
- 55,996
Nimemtamania komando, atafaidiNavyopenda makomando sasa
Nimemtamania komando, atafaidiNavyopenda makomando sasa
Najua upande wa pili nguo zile ndogonzinawapwaya sasa😂😂😂Kubwa la magaidi
Mistari ile sio?Ayatollah, ukute ni bingwa katika uhifadhiii
Unataka kuleta ugomvi!Weka Profile ya Ayotollah Khamenei hapa!
Mkuuu ungeenda deep kidgoWaethipia,wale wanaitwa''MATHELASHA'' walipata kuunganishwa na Uyahudi baada ya malkia wao ,Malkia wa Sheba,kwenda kuhiji Jerusalem,akakutana na mfalme wa Israel aliyeitwa Suleiman.Huyu Malkia alimzimikia Suleiman ,kama WitnessJ anavyomzikia Netanyahu,alimpa dhahabu nyingi sana iliyojaa merikebu,wakapata mtoto.Ndio chanzo cha hao wanaitwa ''Ethiopia Jews/Thelasha''.Ambao ndio hurudi huko Israel kipindi hiki.Hiyo movement inaitwa Aaliya!
Huwa najiuliza, kwanini katika rescue missions nyingi lazimaa komandoo mmmoja apoteze maisha tena wakati wanakaribia kumaliza mission: Operation Barras pia waingeleza walimpoteza mmoja, similary, walipojaribu kuokoa mateka ubalozini (Irani)mri wake mkubwa ila hazeeki. Kaka yake ndio alikuwa bonge la komandoo akafia Entebbe akiongoza operesheni ya kuokoa mateka Waisrael waliozuiwa na Iddi Amin.
Siyo kweli; rescue ilikuwa 1974, vita ilikuwa 1978.............wayahud waliotekwa na idd amin uganda mwaka ule wa vita kat ya Tz na Uganda...