Benjamin Netanyahu atoa onto jingine kwa Hamas

Benjamin Netanyahu atoa onto jingine kwa Hamas

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,941
Reaction score
6,033
Netanyahu kwa Habari za CBS:

"Tulikubaliana kutoa nafasi ya amani. Masharti ya mpango wa pointi 20 yako wazi sana. Sio tu kwamba tunawatoa mateka, lakini pia kuhusu kuwapokonya silaha na kuwaondoa wanajeshi. Tulikubaliana kukamilisha sehemu ya kwanza ya mpango huo na kutoa nafasi ya kutekeleza sehemu ya pili kwa amani. Ikiwa sehemu ya pili haitatekelezwa kwa amani, nilimsikia Rais Trump akisema kwamba milango ya kuzimu itafunguliwa."

 
Netanyahu kwa Habari za CBS:

"Tulikubaliana kutoa nafasi ya amani. Masharti ya mpango wa pointi 20 yako wazi sana. Sio tu kwamba tunawatoa mateka, lakini pia kuhusu kuwapokonya silaha na kuwaondoa wanajeshi. Tulikubaliana kukamilisha sehemu ya kwanza ya mpango huo na kutoa nafasi ya kutekeleza sehemu ya pili kwa amani. Ikiwa sehemu ya pili haitatekelezwa kwa amani, nilimsikia Rais Trump akisema kwamba milango ya kuzimu itafunguliwa."
Mabwege hao wapi Hamas alisema atasalimisha silaha kwenye hizo 20 point labda kwenye magazeti yao. Warudi tu kwenye vita tuone kama watashinda wanacho fanya hao ni kuwaua wanawake na watoto sio Hamas.
 
Mabwege hao wapi Hamas alisema atasalimisha silaha kwenye hizo 20 point labda kwenye magazeti yao. Warudi tu kwenye vita tuone kama watashinda wanacho fanya hao ni kuwaua wanawake na watoto sio Hamas.
Una matatizo kichwani si bure
 
Netanyahu kaisha na kuishiwa kwa kulazimika kumsikia bwana anayemfuga ambaye amechoka na vita ya kipumbavu. Hivyo, anaweza kusema lolote kujiridhisha.
 
Mabwege hao wapi Hamas alisema atasalimisha silaha kwenye hizo 20 point labda kwenye magazeti yao. Warudi tu kwenye vita tuone kama watashinda wanacho fanya hao ni kuwaua wanawake na watoto sio Hamas.
Usiwe shabiki, face reality. Una uhakika Hamas hawatamalizwa Israel wakiamua to wage exterminate war?
See the whole of Palestine is in rubble! Is there the same thing in Israel?

Think twice!
 
Akili za msikitini hizo!!
Trump kamwambia Netanyahu awache ujinga miaka miwili kashindwa kuwamaliza Hamas na kila aina ya silaha kutumia. Mimi na uhakika mpaa chemical katumia na kashindwa kuwamaliza Hamas
 
Trump kamwambia Netanyahu awache ujinga miaka miwili kashindwa kuwamaliza Hamas na kila aina ya silaha kutumia. Mimi na uhakika mpaa chemical katumia na kashindwa kuwamaliza Hamas
Kweli kwenye Madrasa yenu mnadanganyana sana!!
 
Ukipitia comment za wafuga majini humu ndo utastaajabu uwezo wao ulivo mdogo upstairs
 
Mabwege hao wapi Hamas alisema atasalimisha silaha kwenye hizo 20 point labda kwenye magazeti yao. Warudi tu kwenye vita tuone kama watashinda wanacho fanya hao ni kuwaua wanawake na watoto sio Hamas.
Kobazi huwa mnajitoa akili,tatizo la kusali mmenyanyua mikondu juu kichwa chini,hamuwezi kuwa na akili timamu.
 

Attachments

  • IMG_4569.png
    IMG_4569.png
    192.6 KB · Views: 15
🤣🤣🤣niaibu kushindwa kurudisha mateka kutoka kwa magaidi wenzake, Embuniambie kimemkuta nini mpaka yamemtoka hayo.
 
Back
Top Bottom