bila shaka utakua mzee mwenzangu weweAaaah Charonyi ni wasii, kila kilambo ni gome,
Kakunda mfu, ni gome,
Kakunda mnavu ni gome,
Maji genywa ni gome,
ni wasi ni wasi ni wasi,
Ni wasi ni wasi mdu,
Afu wana ile
Ewe mkulima aamka kumekucha hizi ndizo saa za kwenda shambani,
Mwanafunzi amka kumekucha hizi ndizo saa za kwenda shule,
Jiepushe na uvivu tujenge
Mwanangu amka kumekucha hizi ndizo saa za kwenda shule,
Jiepushe na uvivu tujenge Taifa, ilikuwa ikipigwa kumi na moja na nusu asubuhii kwa majira ya saa Afrika ya mashariki pale idhaa ya KBC Taifa sauti ni ya mkenya......
cc secretarybird
Hahahahaha wa kuthibitisha hili ni secretarybirdbila shaka utakua mzee mwenzangu wewe
sio kwa mistari hio, unazeeka vizuriHahahahaha wa kuthibitisha hili ni secretarybird
Hahahaha daah kwa kilometer zinasoma ngp mzee mwenzangu 🤔sio kwa mistari hio, unazeeka vizuri
Hahaha jambo jema mzee..... Kikubwa uhai tuyaone mengi ya dunia hii....tunamalizia 40 tu apa mzee mwenzangu
Naaam muhimu wanakosha sana watu wa taita taveta hao,ewaa tukiwa tunaendelea kupata ngoma za makomandoo wa zaman maisha burdan
Sidhani sana sana itakuwa wanafanya live band,kwahio jamaa sku izi hawaimbi tena ama imekuaje
Yes, sisi ni wazee sana.Hahahahaha wa kuthibitisha hili ni secretarybird
simfahamu Ila naijua team ya Les wanyika hata Fresh mwambuli alikuwa Simba wanyika before zigawanyike na kusalia na band moja wapo na baadae kupigwa tukio na binti wa kikamba aitwaye Stella,Je, mnamkumbuka yule Mzee John Mgereza aliyeutunga wembo wa Les wanyika Amigo?
Monetary doctor Dr am 4 real PhD
Mkuu hebu ongezea nyama ili wana JF hasa wa kule TZ wapate kuelewa.simfahamu Ila naijua team ya Les wanyika hata Fresh mwambuli alikuwa Simba wanyika before zigawanyike na kusalia na band moja wapo na baadae kupigwa tukio na binti wa kikamba aitwaye Stella,
Kila mwaka may 19 wakenya wote tunamkumbuka Stella kwa ku hatbreki Freshly
Ngoja nitatafuta historia ya wana wanyika,Mkuu hebu ongezea nyama ili wana JF hasa wa kule TZ wapate kuelewa.
Hahahah 😂🤣Ngoja nitatafuta historia ya wana wanyika,
Ila freshly mwambuli yupo na kwao ni hapo Taita taveta, mpo majirani tuu to Mombasa
Alimpenda binti wa kikamba aitwaye Stella,
sasa Stella akapata ufadhili wa kimasomo kwenda nje, jamaa kwakua alikuwa mpenzi wake na wana ahadi nyingi akauza shamba, ng'ombe, mpaka gari juu ya Stella,
Lakini stella kaenda japani 3 if not five years na wanawasliana sasa kwa kipindi hiko cha 1990's sijui walikuwa wanatumia nn,
Ko akapanga Tarehe ya kurudi Kenya baada ya masomo yake,
Kweli freshly akajikusanya na mjomba wake kilinda, eng Njau njoka, na jamaa zake, kumlaki Stella,
Ndege ilipotua Stella alishuka lakini ana mtoto, na jamaa wa kijapani
Na hakuweza kusema chochote zaidi ya hii, na kuwaacha kina freshly pale na kusepa,
Ambapo Stella anadai huyo mtoto hakuwa wake bali wa abiria mwenzie, na hiyo kitu ili muumiza sana freshly mwambuli!
na yuko wap uyo stella sku iziNgoja nitatafuta historia ya wana wanyika,
Ila freshly mwambuli yupo na kwao ni hapo Taita taveta, mpo majirani tuu to Mombasa
Alimpenda binti wa kikamba aitwaye Stella,
sasa Stella akapata ufadhili wa kimasomo kwenda nje, jamaa kwakua alikuwa mpenzi wake na wana ahadi nyingi akauza shamba, ng'ombe, mpaka gari juu ya Stella,
Lakini stella kaenda japani 3 if not five years na wanawasliana sasa kwa kipindi hiko cha 1990's sijui walikuwa wanatumia nn,
Ko akapanga Tarehe ya kurudi Kenya baada ya masomo yake,
Kweli freshly akajikusanya na mjomba wake kilinda, eng Njau njoka, na jamaa zake, kumlaki Stella,
Ndege ilipotua Stella alishuka lakini ana mtoto, na jamaa wa kijapani
Na hakuweza kusema chochote zaidi ya hii, na kuwaacha kina freshly pale na kusepa,
Ambapo Stella anadai huyo mtoto hakuwa wake bali wa abiria mwenzie, na hiyo kitu ili muumiza sana freshly mwambuli!