Bingwaman JF-Expert Member Joined Oct 22, 2010 Posts 548 Reaction score 288 Jun 23, 2013 #1 Kuna bendi ya Tanzania iliiga kwa kiasi kikubwa tune ya sehemu ya kwanza ya wimbo huu wa TP OK Jazz ujulikanao kama 'Nostalgie'. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Kuna bendi ya Tanzania iliiga kwa kiasi kikubwa tune ya sehemu ya kwanza ya wimbo huu wa TP OK Jazz ujulikanao kama 'Nostalgie'.
L lazamwa Member Joined Nov 17, 2010 Posts 46 Reaction score 9 Jun 25, 2013 #2 Mimi nahisi marijan rajab aliiga alipoimba ' mwana matata hacha kulalamika hovyo, kama amekushinda mrudishe kwao o.....
Mimi nahisi marijan rajab aliiga alipoimba ' mwana matata hacha kulalamika hovyo, kama amekushinda mrudishe kwao o.....