Nimetembea karibu nimalize kariakoo yote na maeneo ya posta mpya yote...sijaona au kukuta sehemu ambayo wanauza
bendera ya Tanzania. Bendera ninayohiitaji mimi ni zile kubwa zinazopepea kwenye milingoti kama wizarani na kwenye mahoteli makubwa hapa Tanzania. Mwenye kujua nitaipata duka gani au ofisi gani anielekeze ili niende kununua as ssoon as I can ilimradi hiyo sehemu wawe wanauza bendera original na quality na siyo zile za kuchuja kila unapoifua.
Naombeni msaada wenu. Ahsanteni