Ni sawa na kusema nimemuacha mke wangu na kuishi na dada wa nyumba. Sababu
1 Anapika
2 Anafanya usafi nyumbani
Baada ya kujituma na kuleta maendeleo kwa wananchi wanakaa na kuangalia jinsi gani wawavuruge wapinzani. Halafu kutwa wanakwenda kwa wachina na wazungu kuomba misaada lakini hutosikia kuomba misaada ya silaha za kivita bali hununua na waje kuzitumia kuwauwa wapinzani. Trump akituita shithole country tutabaki kununa, kwenye maisha unahitaji mpinzani ndio maana hata Mungu amemueka shetani kuwa mpinzani wake. Kama upinzani hauna maana basi Mungu agelikuwa kisha muangamiza shetani(iblisi) zamani sana.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️