Ben

Ben

mlambalasi

Member
Joined
Nov 19, 2016
Posts
8
Reaction score
2
Hivi beni wa saanane wapi alipo? Naona chadema wapo ulaya wanakula bata
 
Damu ya Habili ilipolia swali na jibu na maamuzi yote alifanya MUNGU. Mwanzo 4:9-12
 
Wakuu nimesoma GAZETI la Mwananchi la juzi,,,kuna miili sita imeopolewa mto ruvu ikiwa imefungwa kila moja na bonge la jiwe ,i
 
hahah sasa mkuu inamaana jf ndio tuna uchungu kuliko chama?? kumbuka ben ni kada wa chama kungekuwa na ukweli kuwa kapotea tungesha pewa updates kutoka chamani na huwenda shauri au taarifa zingekuwa kwenye vyombo vya usalama n.k

MBONA WAPO KIMYA?
 
Back
Top Bottom