mlambalasi
Member
- Nov 19, 2016
- 8
- 2
Hivi beni wa saanane wapi alipo? Naona chadema wapo ulaya wanakula bata
Atakuwa Rombo mnasahau hii ni DisembaHivi beni wa saanane wapi alipo? Naona chadema wapo ulaya wanakula bata
bring him from where?Bring back our Ben Saanane
zea zeabring him from where?
hahah sasa mkuu inamaana jf ndio tuna uchungu kuliko chama?? kumbuka ben ni kada wa chama kungekuwa na ukweli kuwa kapotea tungesha pewa updates kutoka chamani na huwenda shauri au taarifa zingekuwa kwenye vyombo vya usalama n.kzea zea
Kwa hyo unataka kusema.....?Wakuu nimesoma GAZETI la Mwananchi la juzi,,,kuna miili sita imeopolewa mto ruvu ikiwa imefungwa kila moja na bonge la jiwe ,i

Umeharibu uliposema naona chadema wapo ulaya wanakula bata.ulitaka wafanyaje?Hivi beni wa saanane wapi alipo? Naona chadema wapo ulaya wanakula bata
Yupo Mashati anaburudika na mbege.Hivi beni wa saanane wapi alipo? Naona chadema wapo ulaya wanakula bata