Beki Tatu mchumi.

Capitano

JF-Expert Member
Apr 7, 2011
1,959
1,633
House girl mmoja kutoka nyanda za juu kusini ,alitoa kali ya mwaka alipohojiwa na bosi wake kwanini toothpick zinaisha haraka nae akajibu: Bee wanaofuja huto tuvijiti ni hawo wanao maana wakitumia mara moja tu wanatupa lakini mimi nikichokonoleaga meno bee narudishaga humohumo kwenye kachupa kake.
Aaaargh!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom