Beki tatu kamchemshia mwanangu parachichi

Beki tatu kamchemshia mwanangu parachichi

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,028
Reaction score
52,505
Nilipata beki tatu mpya baada ya wa mwazoni kuondoka
Kusema kweli mabeki tatu Ni changamoto huu mwaka nimekuwa na mabeki tatu wanne huyu Ni wa tano.
Wengine niliwatoa maana walikuwa wanagegedwa kuliko hata mimi.watoto wadogo ila wanapenda chini sana .sikupenda mabinti wadogo watoto wa watu waharibike maana Mimi Nina experience ya wanaume sitamani kabisa kuona binti mdogo anawekeza kwenye k.haina faida kabisa.japo sikomi natafuta mchumba mzee bado
Jana nilimuambia Dada tunda la dogo la siku Ni parachichi.kumbe alimchemshia leo dogo anaendesha tu maskini .
Watoto wetu Hawa Mungu awalinde tu maana tunawaaçha lazima tuhangaike
Kuna siku nilikuta dogo anapewa chakula kina chumvi balaa kakabwa anameza tu maskini .nilivoonja nililia yaani
Nilikuwa naponda sana watu wanaopeleka watoto wadogo boarding school ila majumbani changamoto Ni nyingi mno.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana. Ni Changamoto kubwa Watz hatuthamini kazi wala elimu. Ndio maana utakuta binti amepata kazi ya ndani ambayo inaweza ikamtengenezea njia ya maisha yake lkn anachukulia poa, labda kwa kuwa anaweza kuishi kwa ndugu.

Na hili jambo la kutiwa, Sijui ni kwann Ila yatakuja majitu kutetea upumbavu.
Hawa ndio wamama wa kesho mtafurahi watoto wenu au nyie wenyewe kuoa mwanamke asiyevumilia kukaa bila kutiwa?

Hawa Kama wasichana wanaokua, wanapaswa kujitunza na sio majinga yanayotaka binti awe anatoka wkend kwenda kutiwa tu just kutiwa what the hell!!!

Imagine unamruhusu binti yako uliyemzaa aende kwa wahuni wakamtieee weee basi halafu arudi pumbaavu
 
Pole sana. Ni Changamoto kubwa Watz hatuthamini kazi wala elimu. Ndio maana utakuta binti amepata kazi ya ndani ambayo inaweza ikamtengenezea njia ya maisha yake lkn anachukulia poa, labda kwa kuwa anaweza kuishi kwa ndugu.

Na hili jambo la kutiwa, Sijui ni kwann Ila yatakuja majitu kutetea upumbavu.
Hawa ndio wamama wa kesho mtafurahi watoto wenu au nyie wenyewe kuoa mwanamke asiyevumilia kukaa bila kutiwa?

Hawa Kama wasichana wanaokua, wanapaswa kujitunza na sio majinga yanayotaka binti awe anatoka wkend kwenda kutiwa tu just kutiwa what the hell!!!

Imagine unamruhusu binti yako uliyemzaa aende kwa wahuni wakamtieee weee basi halafu arudi pumbaavu
Just imagine mkuu.sio haki.kama hawezi kuishi kwa adabu mi simtaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
madame umeongea kwa uchungu. Hao wanaotetea huo upuuzi hebu tuwaulize kama watoto wao huwa wanawapa ruhusa ya kwenda kutiwa
Pole sana. Ni Changamoto kubwa Watz hatuthamini kazi wala elimu. Ndio maana utakuta binti amepata kazi ya ndani ambayo inaweza ikamtengenezea njia ya maisha yake lkn anachukulia poa, labda kwa kuwa anaweza kuishi kwa ndugu.

Na hili jambo la kutiwa, Sijui ni kwann Ila yatakuja majitu kutetea upumbavu.
Hawa ndio wamama wa kesho mtafurahi watoto wenu au nyie wenyewe kuoa mwanamke asiyevumilia kukaa bila kutiwa?

Hawa Kama wasichana wanaokua, wanapaswa kujitunza na sio majinga yanayotaka binti awe anatoka wkend kwenda kutiwa tu just kutiwa what the hell!!!

Imagine unamruhusu binti yako uliyemzaa aende kwa wahuni wakamtieee weee basi halafu arudi pumbaavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una tatizo..
Haiwezekani beki 3 watano wote ndani ya 1 year
Huna uzoefu mkuu.

Kuna wakati unaletewa na madalali ambao huwa anawaambia akae mwezi mmoja au miwili akizidisha matatu then asepe. Wewe unajua ushapata binti wa kazi kumbe mwenzio anapita tu...

Ndani ya mwaka unakuwa Umebadilisha wengi kumbe dalali anakula hela ya nauli kila baada ya miezi mmoja au miwili.... Na anawatafutia wengi kwa mitindo huo. Hatari sana mjini
 
Back
Top Bottom