Unajua inategemea,Mombasa ni VIP zone,utaanzia 50m kwenda juu.
Na maeneo ya Fuoni pia yanatofauti,Kuna maeneo yanaanzia 4m na unapoikaribia barabara inafika mpaka 60m,similar to
Mwera,Maungani imepanda kwa kasi baada ya kutiwa lami,na mji mpya wa Fumba Town Project.