Tronics guru
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 7,867
- 7,387
- Thread starter
- #41
ALITOP 65SMART 4K
Bei : *1,000,000
Bei : *1,000,000
Yani inch 70 ni 1.3 M?
Good vision hakuna inch 65.?GOOD VISION
N22 Double...135,000/=
25 Double... 165,000/=
32 Double....230,000/=
42 smart F…..390,000/
43 D Smart...420,000/=
Zina Warrant ya muda gani?Hisense TV 🔥OFFER 🔥
32” Normal __290,000/=
32” Smart __390,000/=
40” Normal ___490,000/=
40” Smart __570,000/=
43” Normal ___580,000/=
43” Smart __610,000/=
43” 4K UHD __710,000/=
50” 4K UHD __900,000/=
55” 4K UHD ___1,050,000/=❌
58” 4K UHD __1,150,000/=
65” 4K UHD _1,500,000/=
70” 4K UHD ___2,050,000/=
75” 4K UHD _ 2,300,000/=
85A6N __3,050,000/=
Free delivery in DSM
0745588735
Mkuu nipe bei ya LG 50 4K UHD.Hisense TV 🔥OFFER 🔥
32” Normal __290,000/=
32” Smart __390,000/=
40” Normal ___490,000/=
40” Smart __570,000/=
43” Normal ___580,000/=
43” Smart __610,000/=
43” 4K UHD __710,000/=
50” 4K UHD __900,000/=
55” 4K UHD ___1,050,000/=❌
58” 4K UHD __1,150,000/=
65” 4K UHD _1,500,000/=
70” 4K UHD ___2,050,000/=
75” 4K UHD _ 2,300,000/=
85A6N __3,050,000/=
Free delivery in DSM
0745588735
zina-support e-mediko😎hivi hizi tv za hisense zina nini mbona zinapigiwa promo kubwa sana?
Agiza china hizi akaweka Bei karibia mara Tano na Bei ya china. Wabongo inabidi wajifunze sijui enzi hizo kwenda china ilionekana mbinguni Fulani saivi mambo yamerahishwa mno, yaani watu ni wezi kiasili. Mfuko wa sukari unachukulia 125k unauza 127 alfu mbili inatosha , ukiuza mifuko yako mia ama hamsini Maisha yanaenda.Duh!!! Wenzio walishashusha bei za TV kitambo sana. We uko juu sana
Wanajf sijui mnashida gani asee!Agiza china hizi akaweka Bei karibia mara Tano na Bei ya china. Wabongo inabidi wajifunze sijui enzi hizo kwenda china ilionekana mbinguni Fulani saivi mambo yamerahishwa mno, yaani watu ni wezi kiasili. Mfuko wa sukari unachukulia 125k unauza 127 alfu mbili inatosha , ukiuza mifuko yako mia ama hamsini Maisha yanaenda.
Mtu anachukulia kitu china 20 anakuja kukiuza 4000 anakuambia ni gharama zimeongezeka. Wachina wakiweka bidhaa zao cheap wanakuja kulia kuwa wanaharibu soko. Wachina hata tenda za ujenzi dunia nzima akazishika. Ilibidi hata uongozi mchina apewee tu
Mkuu ni 1,000,000/=Good vision hakuna inch 65.?
duh!..Hizo tv Zina TV ndani mbona Bei kubwa?
Hizi bei bado unatembea nazo mpaka sasa?GOOD VISION
N22 Double...135,000/=
25 Double... 165,000/=
32 Double....230,000/=
42 smart F…..390,000/
43 D Smart...420,000/=