Bei za Mashine za kukoboa na kusaga

Bei za Mashine za kukoboa na kusaga

Brooklyn

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2009
Posts
1,459
Reaction score
286
Wakuu habari za jumapili. Naomba msaada wa kujua bei na suppliers wa mashine za kusaga na kukoboa mahindi na mpunga.

Naomba pia kwa wajuzi wa eneo hili wanifahamishe brand zipi ndo bora pamoja na technical specification.

Natanguliza shukrani za dhati wana JF.
 
Kama upo Dar nenda Auto Sokoni mkuu(kisutu_Morogoro road)
 
Kulishakua na mjadala mrefu sana juu ya hii hoja yako,jaribu kurudi nyuma utapata mawazo ya wengi.
Kimsingi mashine bora kwa sasa ni za viwanda vyetu vidogovidogo vilivyopo hapa nchini mwetu,mashine zakichina na zakihindi uimara wake ni mdogo sana,tafuta mjadala uliokwishajadiliwa. ukichemka ni pm nitakusaidia kwa mawazo
 
Kulishakua na mjadala mrefu sana juu ya hii hoja yako,jaribu kurudi nyuma utapata mawazo ya wengi.
Kimsingi mashine bora kwa sasa ni za viwanda vyetu vidogovidogo vilivyopo hapa nchini mwetu,mashine zakichina na zakihindi uimara wake ni mdogo sana,tafuta mjadala uliokwishajadiliwa. ukichemka ni pm nitakusaidia kwa mawazo

mkuu weka mawazo hapa hadharani. weka links za hizo threads za nyuma.
 
Kulishakua na mjadala mrefu sana juu ya hii hoja yako,jaribu kurudi nyuma utapata mawazo ya wengi.
Kimsingi mashine bora kwa sasa ni za viwanda vyetu vidogovidogo vilivyopo hapa nchini mwetu,mashine zakichina na zakihindi uimara wake ni mdogo sana,tafuta mjadala uliokwishajadiliwa. ukichemka ni pm nitakusaidia kwa mawazo
Watu wavivu kusoma ndugu
 
Back
Top Bottom