ILISACHA
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 2,184
- 4,046
Tumia akili ndugu yangu.kwani Tanzania tuna visima vya mafuta? Hujuwi kupanda kwa bei za mafuta kulitokana na kupanda katika soko la Dunia pamoja na kuongezeka kwa gharama za usafirishaji?
We ndo utumie akili kuliko kujidhalilisha kisa tumbo fanya kazi acha kusifia pasipo stahili.
We hujiulizi kwenye mada zako kwa nini wachangiaji huwa wanakuhisi we ni hamnazo?