omba msaada usaidike acha.kuandika taarabu..kama imekosewa inarekebishwa na kama unatumia gesi nenda kanunue ya kg 15"000. Utupe bei mpya
Nimekshtua uwahi kuvunja kibubu
Huku Mbeya imekwishapanda. Leo 15KG ORYX ni 54,00 na Mihan ni 52,000.
Acha ipande misitu iteketee si tumeichagua ccm wenyewe .....
Kodi zingeondolewa kwenye gesi matumizi ya mkaa yagepungua sana na jangwa lingesogea mbali kidogo