Bei ya viwanja Dodoma yapaa

Nina nyumba mjini kati barabara kumi.....siku ziende niingie ubia ghorofa...hakika ni wakati wa kucheka
 
I second you!
Lukuvi anajitahidi Sana, hata hivyo mfumuko wa bei uliosababishwa ba hela za hovyo mtaani uligharimu Sana wanunuaji Viwanja....
Viwanja vitashuka bei Sana this time, hata kuwe Na pressure ya namna gani,kwakuwa pia miundombinu hayo imeboreka... Si Kama zamani
 
Kiongozi 1.5 milioni changamkia haraka !! Ila je mipango miji/maendeleo ya eneo husika iko vipi !?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…