kambipopote
Senior Member
- Nov 15, 2010
- 121
- 22
Habari zenu wanajamvi.
Nahitaji msaada kwa yeyote anaye fahamu bei ya Kulangulisha vitunguu swaumu katika soko la Kariakoo-Dar.
Nipo Iringa nina vitunguu swaumu nataka kupeleka Dar.
Kama kuna mtu anahitaji tafadhali tuwasiliane. Au kama kuna mtu ana namba ya madalali wa Kariakoo, tafadhali nipatie.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Nahitaji msaada kwa yeyote anaye fahamu bei ya Kulangulisha vitunguu swaumu katika soko la Kariakoo-Dar.
Nipo Iringa nina vitunguu swaumu nataka kupeleka Dar.
Kama kuna mtu anahitaji tafadhali tuwasiliane. Au kama kuna mtu ana namba ya madalali wa Kariakoo, tafadhali nipatie.
Natanguliza shukran zangu za dhati.