Samahani utajuaje gunia ni grade 2 au 1.Kama uko tayari tuwasiliane mi ninakaa Moshi Nataka na Mimi kuanza hii biashara , nataka niwe natoa Arusha ( Mang'ola - Karatu ) kupeleka Dar
Weka nyama nyama mkuu.Mang'ola karatu
Hamsini ni kwa ujazo wa neti ya debe saba alimaarufu neti ya magufuli
Na sabini ni kwa ujazo wa debe tisa alimaarufu neti ya mkenya au ya kuvuta
Na papo hapo.... ni lini tutatumia uzito eg kilo kuuza mazao yetu na tuachane na huu utaratibu wa ujima wa kupima kwa magunia?Weka nyama nyama mkuu.
Gunia unajaza mwenyewe?
Dar Bila madalali I mesh as hind I kana
na Mimi nimeamua tu kuwa Dalali
Umeungana na mzee Rashid?Samahani utajuaje gunia ni grade 2 au 1.
Au ni unajaza mwenyewe gunia.
Wewe hii biashara unaijua kiundani? Fitina na figisu figisu zote unazijua.
Bora tu kuwa Dalali![]()
![]()
Umeungana na mzee Rashid?
Tushapigwa na sisi tunaamua kuwapiga tuahahah madalali ndio mnatupiga sisi wakulima
Tafuta sasa soko la mashudu,,august tunukishe kitunguuBora tu kuwa Dalali
unakua hauguswi na hasara...
Nipange basi nataka Mbuzi
Nitafutie soko la vitunguu.Bora tu kuwa Dalali
unakua hauguswi na hasara...
Nipange basi nataka Mbuzi
Nimekuelewa.Grade zinapangwa kulingana na size ya vitunguu , ukiwa mang'ola grade one ipo pia inapatikana ni Yale mavitunguu makubwa kabisa
Hayo mashamba ukifika tu unapata au ndo ya kutafuta? Maana unaweza kuta mashamba kumbe kuna watu waliwekeza hela zao au wana wateja wao.Huko Mang'ola ( Karatu ) ndo kuna mashamba ya vitunguu