kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,132
- 24,438
Vipi wandugu, hali ya bei ya unga mtaani kwenu ipoje?
Huku kilo ya unga wa mahindi ni 2200. Mfumuko upo juu.
Kiongozi wa wanyonge anashangilia hilo, anasahau kuwa wanaofaidi si wakulima bali ni walanguzi kwa 98%.
Wewe na serikali yako mliwazuia wakulima kuuza mahindi nje yakawadodea hadi wakaamua kuwauzia walanguzi kwa bei ya kutupwa 10000 mpaka 20 kwa gunia.
Sasa walanguzi ndo wanasaga unga na kuuza pia mahindi kwa bei ghali na kuwaumiza wananchi leo.
Inasisimua sana hii movie mheshimiwa. Nina mengi ya kuandika ila mwanaJF mwenzangu niambie, bei
ya unga ipoje mtaani kwako?
Huku kilo ya unga wa mahindi ni 2200. Mfumuko upo juu.
Kiongozi wa wanyonge anashangilia hilo, anasahau kuwa wanaofaidi si wakulima bali ni walanguzi kwa 98%.
Wewe na serikali yako mliwazuia wakulima kuuza mahindi nje yakawadodea hadi wakaamua kuwauzia walanguzi kwa bei ya kutupwa 10000 mpaka 20 kwa gunia.
Sasa walanguzi ndo wanasaga unga na kuuza pia mahindi kwa bei ghali na kuwaumiza wananchi leo.
Inasisimua sana hii movie mheshimiwa. Nina mengi ya kuandika ila mwanaJF mwenzangu niambie, bei
ya unga ipoje mtaani kwako?

