🤣 🤣 🤣 🤣 mdau nadhani ulimaanisha pikipiki ya magurudumu matatu hapo kwenye kichwa cha habari. Bajaj na TVS ni kampuni 2 tofauti. Ila umeeleweka mdau. Walioko Uganda watakujibu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] mdau nadhani ulimaanisha pikipiki ya magurudumu matatu hapo kwenye kichwa cha habari. Bajaj na TVS ni kampuni 2 tofauti. Ila umeeleweka mdau. Walioko Uganda watakujibu