Bei ya sukari yapaa kuliko kawaida

Bei ya sukari yapaa kuliko kawaida

Mshobaa

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
1,716
Reaction score
680
Habari wakuu....hali ya sukari imekua changamoto kidogo maana hivi sasa mfuko wa kg 25 unauzwa kwa tsh 78,000 had 80,000 huku ule wa kg 50 ukifika 170,000 hadi 172,000 hii ni kwa mkoa wa Dar es salaam. Tunaomba mamlaka husika kuanzia bodi ya sukari muliangalie hili kwa mapana zaidi,maana linaadhiri moja kwa moja wananchi wa kipato cha chini sio wote watakaomudu kununua kwa kilo tsh 4000 na kuendelea
Nawasilisha
 
We sukari inatoka Brazil mchezo? Kwani baresa na bagamoyo sugar ameshindwa kumaliza hili tatizo
 
Tanzania kila mwaka sukari pana dana dana zinatokea ili watu wachache wapewe kibali cha kuagiza na wapige pesa aisee...wakati Nchi zote zinazotuzunguka mpaka Malawi hawana ujinga huu wa kuwa na shortage ya Sukari kila mwaka bongo wanasiasa wanacheza na wafanyabiashara kuhusu hii ishu..
 
Msusiee kununua --ohh

Sukari ni addiction

Ova
 
Habari wakuu....hali ya sukari imekua changamoto kidogo maana hivi sasa mfuko wa kg 25 unauzwa kwa tsh 78,000 had 80,000 huku ule wa kg 50 ukifika 170,000 hadi 172,000 hii ni kwa mkoa wa Dar es salaam. Tunaomba mamlaka husika kuanzia bodi ya sukari muliangalie hili kwa mapana zaidi,maana linaadhiri moja kwa moja wananchi wa kipato cha chini sio wote watakaomudu kununua kwa kilo tsh 4000 na kuendelea
Nawasilisha
Nilienda bush moja mzigo Alf 4
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom