Kuna wakati katika kipindi cha Kikwete mambo yalikuwa hivihivi, Kikwete akaamuru yasambazwe masokoni mahindi ya hifadhi ya taifa ya chakula masokoni bei ushuke, na KWELI.
Tunatumai na Mheshimiwa Rais Magufuli atafanya vivyo hivyo.
Tutakukumbuka sana Kikwete kwa hifadhi ya Taifa ya chakula, kitu ambacho kilikuwa hakuna kabla ya utawala wako.