Bei ya Samsung Galaxy S ii

CompaQ

JF-Expert Member
Dec 31, 2012
281
133
habari
nilikuwa nauliza Bei ya Samsung Galaxy S ii kwa maduka ya Dar es salaam in Range kati ya shilling ngapi na ngapi kwa simu mpya dukani!
Anaefahamu pleaz anijuze
 
Mpya kwa box na kila kitu chake nauza kwa TZS. 650,000/= unapata risiti na warrant ya 12 months.
My number 0655003510
 
Acha kuendekeza njaa hiyo simu umepewa na ofisi kwa shughuli za kiofisi wewe unataka kuuza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom