habari
nilikuwa nauliza Bei ya Samsung Galaxy S ii kwa maduka ya Dar es salaam in Range kati ya shilling ngapi na ngapi kwa simu mpya dukani!
Anaefahamu pleaz anijuze
Mpya kwa box na kila kitu chake nauza kwa TZS. 650,000/= unapata risiti na warrant ya 12 months.
My number 0655003510
ipo used miezi 4 bei laki tano na nusu,550,000/= ni nzima kabisa haina mikwaruzo yoyote
ukitaka ambayo siyo ya magumashi 1.2m unapata mpya kabisa
Iphone 4s unayo......?...mpya.....?