Vita ya ukraine imeendelea kuiumiza nchi ya Tanzania kwani karatasi toka china zimepanda bei kwa kasi ya kutisha almost asilimia 100, haijulikani kama stock iliyopanda bei inatoka Russia au ukraine au China nayo imeathirika na vita hivyo
Serikali inajua watanzania wanaishia kupiga kelele mitandaoni afu wanasahau. Bei zitapanda hadi 2024, hapo ndo sitashushwa kwa ajili ya wagombea kujinadi.na watanzania walivyo wa ajabu watasahau haya yote.
Serikali inajua watanzania wanaishia kupiga kelele mitandaoni afu wanasahau. Bei zitapanda hadi 2024, hapo ndo sitashushwa kwa ajili ya wagombea kujinadi.na watanzania walivyo wa ajabu watasahau haya yote.