BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,533
- 3,837
Wakuu,
Ninahitaji kuanza kufuga nguruwe pembezoni mwa Dar es Salaam hivyo kabla sijaanza nimeamua kuanza kuangalia bei za vyakula vya hiyo mifugo ili nipate picha ya gharama za uendeshaji.
Naombeni mnisaide bei kufahamu bei ya;
1. Pumba za mahindi kwa kilo moja
2. Pumba za mchele kwa kilo moja
3. Mashudu ya alizeti kwa kilo moja
Si mbaya ukaandika hiyo bei ni ya sehemu gani hapa jiji.
Asanteni sana
Ninahitaji kuanza kufuga nguruwe pembezoni mwa Dar es Salaam hivyo kabla sijaanza nimeamua kuanza kuangalia bei za vyakula vya hiyo mifugo ili nipate picha ya gharama za uendeshaji.
Naombeni mnisaide bei kufahamu bei ya;
1. Pumba za mahindi kwa kilo moja
2. Pumba za mchele kwa kilo moja
3. Mashudu ya alizeti kwa kilo moja
Si mbaya ukaandika hiyo bei ni ya sehemu gani hapa jiji.
Asanteni sana