mkaamweusi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2013
- 618
- 828
Hellow Guys
Nilikuwa nafanya utafiti kuhusu bei ya Photocopy machine aina ya canon ir 2425i
Nimebaini maduka ya wahindi mfano maisha,omni na masumini bei zao zipo juu kidogo ukilinganisha na Kariakoo mfano
Hiyo Mashine kwa wahindi hupati chini ya 3.5mil kwa upande wa kariakooo unapata hadi 3.2 mil
Kuna mtu niliongea nae akasema ukinunua kwa wahindi kule kitu kipya ni kipya kweli huwa havikuletei shida muda mfupi tu baada ya kununua
Lakini kwa kariakoo mashine ile ile,Mpya lakini unakuta ndani ya miezi sita unaita fundi,inasumbua kuna uwezekano baadhi ya vitu vinachezewa?
Utofauti huo wa bei unahusiana na ubora wa kifaa? Model ile ile?
Nilikuwa nafanya utafiti kuhusu bei ya Photocopy machine aina ya canon ir 2425i
Nimebaini maduka ya wahindi mfano maisha,omni na masumini bei zao zipo juu kidogo ukilinganisha na Kariakoo mfano
Hiyo Mashine kwa wahindi hupati chini ya 3.5mil kwa upande wa kariakooo unapata hadi 3.2 mil
Kuna mtu niliongea nae akasema ukinunua kwa wahindi kule kitu kipya ni kipya kweli huwa havikuletei shida muda mfupi tu baada ya kununua
Lakini kwa kariakoo mashine ile ile,Mpya lakini unakuta ndani ya miezi sita unaita fundi,inasumbua kuna uwezekano baadhi ya vitu vinachezewa?
Utofauti huo wa bei unahusiana na ubora wa kifaa? Model ile ile?