Bei ya pikipiki mpya aina ya YAMAHA-DT

Bei ya pikipiki mpya aina ya YAMAHA-DT

Nenda kacheki kwenye ofisi zao, mwanzo wa mwaka nilienda sikuiona DT nilikuta AG200,AG125 na Yamaha Crux.

Kwa sasa kama mpenzi wa bike za Yamaha ungetafuta Yamaha YZ125 nayo ni two stroke kama DT au YZ250 ambayo ni four stroke hizi zote ni za kisasa na zina nguvu kuzidi DT.
na YAMAHA-DT used ina range bei gani kiongozi, yenye hali nzuri ofcourse
 
na YAMAHA-DT used ina range bei gani kiongozi, yenye hali nzuri ofcourse
Mkuu used kwa mtu unaweza kupata kuanzia million 1.5 na kuendelea kutokana na hali ya chombo.

Nini kimekufanya uipende DT 125?
Wewe utamudu bei ya spea,kuitunza vizuri, Ulipo kuna mafundi wazuri wa 2-Stroke engine, fundi akiwa mzozo hata utoipenda hiyo bike itakosa nguvu na kuiwasha utapiga kick mpaka uote vigimbi.
 
Mkuu used kwa mtu unaweza kupata kuanzia million 1.5 na kuendelea kutokana na hali ya chombo.

Nini kimekufanya uipende DT 125?
Wewe utamudu bei ya spea,kuitunza vizuri, Ulipo kuna mafundi wazuri wa 2-Stroke engine, fundi akiwa mzozo hata utoipenda hiyo bike itakosa nguvu na kuiwasha utapiga kick mpaka uote vigimbi.
Mkuu, hivi Dt Yamaha ni 2 Stroke?
 
Mkuu used kwa mtu unaweza kupata kuanzia million 1.5 na kuendelea kutokana na hali ya chombo.

Nini kimekufanya uipende DT 125?
Wewe utamudu bei ya spea,kuitunza vizuri, Ulipo kuna mafundi wazuri wa 2-Stroke engine, fundi akiwa mzozo hata utoipenda hiyo bike itakosa nguvu na kuiwasha utapiga kick mpaka uote vigimbi.

Mkuu tunaomba msaada wa picha tafadhali... Kwa sisi tusiozijua tupate kuzijua.
 
Mkuu used kwa mtu unaweza kupata kuanzia million 1.5 na kuendelea kutokana na hali ya chombo.

Nini kimekufanya uipende DT 125?
Wewe utamudu bei ya spea,kuitunza vizuri, Ulipo kuna mafundi wazuri wa 2-Stroke engine, fundi akiwa mzozo hata utoipenda hiyo bike itakosa nguvu na kuiwasha utapiga kick mpaka uote vigimbi.

Mkuu yalinikuta hayo mpaka nikaamua kuiuza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom