Ahsante,Mkuu,kuhama kukahoma ,kahoma!Kuhusu makazi nijuavyo mimi dodoma wengi sana wanapangisha nyumba nzima, ila sijajua gharama zikoje. Kua mvumilivu kidogo, wenye uzoefu na haya mambo au hata wamiliki wa nyumba watakuja hapa kukupa ripoti kamili. Kila la kheri mkuu