Bei ya note 3 na note 4

Mujaahed

Member
Joined
Jul 22, 2014
Posts
23
Reaction score
1
Habari wakuu.! Nahitaji kujua bei ya smartphone tajwa hapo, mwenye kujua bei zake anijuze tafadhali
 
simu zinapitwa na wakati haraka haraka, ukija mwakani tarehe kama ya leo utaikuta note 3 inauzwa hata laki 3. note 4 sasa hivi bei zake around laki 9 hv

Ni Kweli chief simu zinapitwa na wakati haraka Sana maana Kila siku yanakuja matoleo makali. Naikubali Sana note edge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…