Bei ya maziwa kutoka asasi

Bei ya maziwa kutoka asasi

Beberu

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
4,705
Reaction score
10,209
Wakubwa samahani kama kuna anayejua bei ya maziwa ambayo asasi wananunua kutoka kwa wafugaji
 
Me sijui mkuu ila Ngoja ni mtag muheshimiw wa munduli bila shaka anafaham
 
Na kama kuna anayejua bei ya ndama jike toka asas
 
Ina mana jf nzima hakuna anayejua hio bei
 
Bei ya kinyonyaji kabisa na hata mwenzie Tanga fresh ananunua kw bei hio
 
Kama ni raw milk (maziwa mabichi)
Kwa maeneo ya pale ipogolo kuna wafugaji wadowadogo walikua wanaleta pale kiwandani kwao (kibwabwa).
Cha kwanza lazima uwe registered kulingana na maximum standard/quality wanayohitaji wao.
Unapopeleka maziwa asubuhi unakuwa na invoice book yako, maziwa yanafanyiwa testing kwa kutumia kifaa maalum, kama umechanganya na maji au yana temperature ya juu (karibia kuganda) huwa hawayapokei.
Endapo hayana shida yeyote wakiyapokea unawapa invoice book yako mtu wa reception anasaini kiasi cha maziwa ulicho supply kwa siku hiyo.
Kwa litre moja huwa ni 800 ( kwa wanaoleta kiwandani)
Kwa maeneo kama ya njombe, Rungwe, kidabaga, kyela wana collection centers zao wafugaji hupeleka kwenye sehemu husika na kisha gari huja kubeba, na upande wa bei huwa tzs 600-800 kulingana na msimu husika ( kiangazi low supply, masika high supply)
Kwa ujumla maziwa kwa Rungwe ni 600. 800 haijawahi fika kabisa hata 700, nakumbuka tu ilifika 650 ikashuka 600
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom