Bei ya mahindi Songea

450, 460,470 hii ndio bei ya maeneo mengi kwa sasa

Jumatatu huenda nikaenda pande za huko.


Nina siku kama nne hivi nilikuwa huko
 
450, 460,470 hii ndio bei ya maeneo mengi kwa sasa

Jumatatu huenda nikaenda pande za huko.


Nina siku kama nne hivi nilikuwa huko
Nipe conectioni mm nataka tani tano.
 
Bei kwa sasa kwa kilo ni Tsh 500 ila ukiwa na 550 unachukua ya kutosha....
 
Nipe conectioni mm nataka tani tano.
unaonaje nikufanyie udalali wa kukutaftia mzigo huo huko huko songea? kwa kilo ni Tsh 550.

kama uko serious nicheki inbox madalali hatushindwi kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…