Ndugu, labda umepitiwa mbona inaonyesha bado petrol Petroli 1340 bado iko chini? ya diesel Diesel (shs 1440)angalia vyema.
Hata hivyo, ni kweli bara bado wanatulangua sana, kwani chini kabisa petrol ni 1500, wakati diesel ni kuanzia 1550 na kuendelea!