BEI YA LAPTOP NAULIZI

BEI YA LAPTOP NAULIZI

Omary idd

Member
Joined
Sep 5, 2017
Posts
65
Reaction score
13
jaman shikamooon ,Dada na kaka zangu Mimi ni mdogo wenu nataka kununua laptop ya chuo cha afya Ila kuna MTU anata kuniuzia aina hiii
Pc Ram 8GB,
1000GB
core i3
kwa laki tatu na nusu je?
nisahihi ama na Veep kuusu laptop hiii ni nzuri ama
f8a3ef1f17896fbc316d3620d3037b11.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Beba hiyoooo kama haina tatizo jingine, ila hakikisha kwanza hizo specs kama zipo kweli
 
Back
Top Bottom