Bei ya gearbox ya Rav4 kilitime

Bei ya gearbox ya Rav4 kilitime

worms

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
980
Reaction score
934
Habari jamani!
Hivi gearbox ya Rav4 kilitime Engine 1ZZ ni bei gani?

Msaada Wakubwa!
 
Gearbox yako inasumbua kitu gani? Ni automatic au manual?
 
Ni automatic,
Haibadili gear vizuri ni kama hasa Inabaki gear namba1 na 2 na mara chache sana inafika tatu.
Uwezekano mkubwa utakua kwenye solenoid hilo tatizo linatatulika mimi nilishawahi kua na tatizo kama hilo gia ilikua inaishia namba 2 ikawa inaunguza plate nilienda machinga complex pale ilala kuna jamaa anaitwa Salehe mpelekee hilo gari lako gia box yote ilishushwa huku naangalia tukaweka na solenoid valve zingine sasa hivi mnyama yupo vizuri.
 
Uwezekano mkubwa utakua kwenye solenoid hilo tatizo linatatulika mimi nilishawahi kua na tatizo kama hilo gia ilikua inaishia namba 2 ikawa inaunguza plate nilienda machinga complex pale ilala kuna jamaa anaitwa Salehe mpelekee hilo gari lako gia box yote ilishushwa huku naangalia tukaweka na solenoid valve zingine sasa hivi mnyama yupo vizuri
Nashukuru mkuu nitafanyia kazi ushauri wako.
 
Jaribu pia kucheck control box,

Kama ni gear box kweli ndiyo yenye tatizo, ukiweza weka manual hautojutia maana hazina usumbufu sana.
Naona unamshauri the old school way , !! Siku hizi manual siyo deal tena
 
Achana na tiptronic transmission mkuu.

Umeisha wahi kujiuliza kwanini SERIKALI na MASHIRIKA YA UMMA asilimia kubwa gari zake ni manual transmission na siyo automatic transmission??
 
Achana na tiptronic transmission mkuu.

Umeisha wahi kujiuliza kwanini SERIKALI na MASHIRIKA YA UMMA asilimia kubwa gari zake ni manual transmission na siyo automatic transmission??
Serikali inanunua manual transmission kwa sababu taatifa zinachelewa sana kufika kwa watu responsible na maamuzi , manual zilitakiwa ziwe faded out kitambo sana

Mitambo na malori heavy duty Siku hizi ni automatic , na swedish kwa mfano you'll be quoted more $$$$ Kama utaagiza manual gearbox kwa sababu ni nje ya production pipeline yao na moving parts ni nyingi kwenye manual.
 
Serikali inanunua manual transmission kwa sababu taatifa zinachelewa sana kufika kwa watu responsible na maamuzi , manual zilitakiwa ziwe faded out kitambo sana

Mitambo na malori heavy duty Siku hizi ni automatic , na swedish kwa mfano you'll be quoted more $$$$ Kama utaagiza manual gearbox kwa sababu ni nje ya production pipeline yao na moving parts ni nyingi kwenye manual.
Usijidanganye aisee, manual transmission ni expensive sababu ya uspecial na uimara na siyo kupitwa wakati,

Pia fanya tafiti siku moja kwa stakeholders wa maroli (haswa drivers) kuwa ipi ni the best kati ya hizo transmission ikiwa namna ya upandaji milima, fuel economy n.k
Majibu utuletee.
 
Usijidanganye aisee, manual transmission ni expensive sababu ya uspecial na uimara na siyo kupitwa wakati,

Pia fanya tafiti siku moja kwa stakeholders wa maroli (haswa drivers) kuwa ipi ni the best kati ya hizo transmission ikiwa namna ya upandaji milima, fuel economy n.k
Majibu utuletee.
Mkuu dunia imebadilika sana sana , Siku hizi ni automation kwa kiasi kikubwa
Kwenye truck industry ndio kabisa manufactures Kama benz Man , iveco hawana tena option ya manual gearbox
 
Uwezekano mkubwa utakua kwenye solenoid hilo tatizo linatatulika mimi nilishawahi kua na tatizo kama hilo gia ilikua inaishia namba 2 ikawa inaunguza plate nilienda machinga complex pale ilala kuna jamaa anaitwa Salehe mpelekee hilo gari lako gia box yote ilishushwa huku naangalia tukaweka na solenoid valve zingine sasa hivi mnyama yupo vizuri.
Ili cost kama ngapi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom