wakuu habari.
nataka kujua bei za vyumba posta kwa anaejua mana nimechoka kukaa uku kazole.
Sent using Jamii Forums mobile app
nataka kujua bei za vyumba posta kwa anaejua mana nimechoka kukaa uku kazole.
Sent using Jamii Forums mobile app
vyumba vya maeneo mazuri mkuu au ndo kawaida??Kabla serikali awamu ya tano kuingia madarakani bei ya chumba maeneo ya posta mpwa ilikuwa shsh 100000 ( laki moja kwa mwezi) lakini sasa bei hizo zimepungua na kufikia shs 30000 hadi 50000 kwa mwezi
