Nimeona matangazo ya Cementi ya Dangote....Je bei zao ni rahisi kama wanasiasa walivyokuwa wanajipamba? Hasa ukizingatia Mtwara na Lindi walitwanga mabomu ya kutosha suala la gesi
Bei ya Cementi Dangote ni Rahisi ulinganisha kwamba wanatumia Gesi
Gesi ni nishati gharama nafuu ya uzalishaji kuliko Umeme wa TANESCO
Katika kutengeneza Cementi, je ni malighafi gani zinatoka nje ya nchi na zipi zinatoka Tanzania hapa hapa?
Ni kwa % ngapi Malighafi za Tanzania zinatengeneza cementi?
Kwa nini Cementi ya kutoka Kenya au Pakistani iwe bei sawa au bei rahisi kuliko ya Tanzania?
Sasa wananchi amkeni, sasa ukweli ndio huu, bei ya cementi ndio hii...Mjipime wananchi, mlikuwa mnadanganywa au la,....
Bei ya Cementi Dangote ni Rahisi ulinganisha kwamba wanatumia Gesi
Gesi ni nishati gharama nafuu ya uzalishaji kuliko Umeme wa TANESCO
Katika kutengeneza Cementi, je ni malighafi gani zinatoka nje ya nchi na zipi zinatoka Tanzania hapa hapa?
Ni kwa % ngapi Malighafi za Tanzania zinatengeneza cementi?
Kwa nini Cementi ya kutoka Kenya au Pakistani iwe bei sawa au bei rahisi kuliko ya Tanzania?
Sasa wananchi amkeni, sasa ukweli ndio huu, bei ya cementi ndio hii...Mjipime wananchi, mlikuwa mnadanganywa au la,....