Weka vipimo vyako kaka watu wakusaidie maana bei utofautiana kulingana na ukubwa....mimi pia nilikuwa natafuta lakini jana nilikuwa kwenye mizunguko ya kutafuta vifaa vya ujenzi hapa dubai nilishangaa sana kuona madirisha ya aluminium yakiwa complete yakiuzwa sina utaalamu sana wa size lakini ni makubwa 120×120 kama sijakosea..walikuwa wanauza elfu 85 tsh..kwa bei ya tz weka ukubwa utakao watu watakuelezea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.