Mchaga JF-Expert Member Joined Apr 11, 2008 Posts 1,377 Reaction score 209 Feb 27, 2012 #1 Nauza Ipad2 mwenye kuhitaji in box
Superman R I P Joined Mar 31, 2007 Posts 5,693 Reaction score 1,707 Feb 27, 2012 #2 Weka Bei Mkuu. Tukielewana njoo chukua pesa kesho. Specs na Clour pia ziweke. Na kama ni mpya au used.
Weka Bei Mkuu. Tukielewana njoo chukua pesa kesho. Specs na Clour pia ziweke. Na kama ni mpya au used.
Taz JF-Expert Member Joined Feb 14, 2012 Posts 304 Reaction score 158 Feb 27, 2012 #3 Tafadhali fanya alivoomba mkuu Superman. Halafu hilo jina lako limependeza na hili jukwaa.
Mchaga JF-Expert Member Joined Apr 11, 2008 Posts 1,377 Reaction score 209 Feb 28, 2012 Thread starter #4 Haya wakuu nitaweka hizo details leo jioni ikiwezekana na picha kabisa.
Superman R I P Joined Mar 31, 2007 Posts 5,693 Reaction score 1,707 Feb 28, 2012 #5 Mchaga said: Haya wakuu nitaweka hizo details leo jioni ikiwezekana na picha kabisa. Click to expand... Wakati unasubiri hizo. Tuambie kama ni Mpya au Used. Kama ni Black au White. Pia tuambie bei. Au siyo Mchaga babangu?
Mchaga said: Haya wakuu nitaweka hizo details leo jioni ikiwezekana na picha kabisa. Click to expand... Wakati unasubiri hizo. Tuambie kama ni Mpya au Used. Kama ni Black au White. Pia tuambie bei. Au siyo Mchaga babangu?
Mchaga JF-Expert Member Joined Apr 11, 2008 Posts 1,377 Reaction score 209 Feb 28, 2012 Thread starter #6 Superman said: Wakati unasubiri hizo. Tuambie kama ni Mpya au Used. Kama ni Black au White. Pia tuambie bei. Au siyo Mchaga babangu? Click to expand... Haya Babangu...Ni mpya nimeinunua last year ni White babangu nauza mln. 1.2/- maelewano yapo
Superman said: Wakati unasubiri hizo. Tuambie kama ni Mpya au Used. Kama ni Black au White. Pia tuambie bei. Au siyo Mchaga babangu? Click to expand... Haya Babangu...Ni mpya nimeinunua last year ni White babangu nauza mln. 1.2/- maelewano yapo
Mchaga JF-Expert Member Joined Apr 11, 2008 Posts 1,377 Reaction score 209 Feb 29, 2012 Thread starter #7 Wakuu samahani sikuweka zile details jana sababu kuna mwanachama mwezetu nimeonana nae jana ameinunua. Nawashukuru.
Wakuu samahani sikuweka zile details jana sababu kuna mwanachama mwezetu nimeonana nae jana ameinunua. Nawashukuru.