lamisa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 219
- 211
Mi nilijaza jana, ila miezi miwili nyuma ilikuwa inajazwa kwa Tsh.22000 kwa sasa imepungua mpaka 19000Hata kujazwa haiwezekani Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nilijaza jana, ila miezi miwili nyuma ilikuwa inajazwa kwa Tsh.22000 kwa sasa imepungua mpaka 19000Hata kujazwa haiwezekani Tanzania
itakuwa unaongelea kg 6 mkuu. Na Tabata unajazwa kwa 18,000Mkuu labda hatujaelewana,sio kuuzwa ni kujazwa ,mm kununua nili nunua 67000 mwaka Jana ila nasikia kuwa imeshuka mpaka 48000 now.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejaza wa KG 6 baasiMi nilijaza jana, ila miezi miwili nyuma ilikuwa inajazwa kwa Tsh.22000 kwa sasa imepungua mpaka 19000
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ,ila hiyo bei ya 18000 mi kama nilisha isahau hata hiyo jana nilishangaa kwa bei kushuka hivyo 22000 hadi 19000!itakuwa unaongelea kg 6 mkuu. Na Tabata unajazwa kwa 18,000
Oryx tabata karibu na ofisi YA vodashop au halotel wanauza 43elfu Jana nimejaza
Mkuu naona kuwa kunakitu kinatuchanganya hapa ,kati ya kujaza na kununua mtungi Wa gesi,na cha pili kutofautisha size ya hizi mitungi.ila Mimi nilikuwa naongelea ule Mdogo kabisa ndo nilinunua sh.67000 mwaka jana na ile jana nilikuta inajazwa kwa sh.19000 toka sh.22000 miezi 2 nyuma.kama nitakuwa nimekosea naomba kueleweshwa zaidi.Oryx tabata karibu na ofisi YA vodashop au halotel wanauza 43elfu Jana nimejaza
Sasa mbona ulikuwa unaelekezwa na bado ukaendelea kusema umejaza wa Kg 15 kwa Shilingi 19,000/=?Mkuu naona kuwa kunakitu kinatuchanganya hapa ,kati ya kujaza na kununua mtungi Wa gesi,na cha pili kutofautisha size ya hizi mitungi.ila Mimi nilikuwa naongelea ule Mdogo kabisa ndo nilinunua sh.67000 mwaka jana na ile jana nilikuta inajazwa kwa sh.19000 toka sh.22000 miezi 2 nyuma.kama nitakuwa nimekosea naomba kueleweshwa zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sasa umeeleweka huo ni wa kg6. Kwa bei za huku mikoani tunanunua 75000/70000 na kujaza ni 22000/20000Mkuu naona kuwa kunakitu kinatuchanganya hapa ,kati ya kujaza na kununua mtungi Wa gesi,na cha pili kutofautisha size ya hizi mitungi.ila Mimi nilikuwa naongelea ule Mdogo kabisa ndo nilinunua sh.67000 mwaka jana na ile jana nilikuta inajazwa kwa sh.19000 toka sh.22000 miezi 2 nyuma.kama nitakuwa nimekosea naomba kueleweshwa zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu,naomba tu unifahamishe!Sasa mbona ulikuwa unaelekezwa na bado ukaendelea kusema umejaza wa Kg 15 kwa Shilingi 19,000/=?
Mkuu naona kuwa kunakitu kinatuchanganya hapa ,kati ya kujaza na kununua mtungi Wa gesi,na cha pili kutofautisha size ya hizi mitungi.ila Mimi nilikuwa naongelea ule Mdogo kabisa ndo nilinunua sh.67000 mwaka jana na ile jana nilikuta inajazwa kwa sh.19000 toka sh.22000 miezi 2 nyuma.kama nitakuwa nimekosea naomba kueleweshwa zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
labda kwa gesi ya kinyerezi.Mtungi wenye ujazo (LPG) ya KG15 hauwezi kuuzwa 19000