Son Of Almighty
Senior Member
- Jun 28, 2017
- 125
- 438
Habari za mchana Wakuu.
Rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu, nyumba nzuri inauzwa Sengerema - Mwanza na bei imeshuka mpaka 29mil.
Eneo lina ukubwa 450sqm.
Nyumba imezungushiwa fensi na kuna geti.
Nyumba ina Tanki la maji la lita 1000.
Kuna kisima kilichojengewa vizuri.
Maji yapo na bomba lipo connected to house.
Umeme upo na kuna units 875, hivyo hutokuwa na gharama za kununua umeme kwa takribani miezi 8..
Nyumba imewekwa tiles yote.
Nyumba imewekwa gypsum board yote
Nyumba imewekwa madirisha ya Aluminium.
Ina vyumba vitatu, kimoja Master.
Ina sebule kubwa.
Ina dinning kubwa.
Ina jiko.
Ina Choo cha public ndani.
Nyumba ipo mjini, sehemu nzuri na tulivu.
Karibu ujipatie nyumba kwa manufaa yako na familia, kumbuka maisha ni nyumba. Epukana na gharama za kupanga, jipatie nyumba bora na nzuri.
Kwa mawasiliano, 0624 167 441
Wote mnakaribishwa
Rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu, nyumba nzuri inauzwa Sengerema - Mwanza na bei imeshuka mpaka 29mil.
Eneo lina ukubwa 450sqm.
Nyumba imezungushiwa fensi na kuna geti.
Nyumba ina Tanki la maji la lita 1000.
Kuna kisima kilichojengewa vizuri.
Maji yapo na bomba lipo connected to house.
Umeme upo na kuna units 875, hivyo hutokuwa na gharama za kununua umeme kwa takribani miezi 8..
Nyumba imewekwa tiles yote.
Nyumba imewekwa gypsum board yote
Nyumba imewekwa madirisha ya Aluminium.
Ina vyumba vitatu, kimoja Master.
Ina sebule kubwa.
Ina dinning kubwa.
Ina jiko.
Ina Choo cha public ndani.
Nyumba ipo mjini, sehemu nzuri na tulivu.
Karibu ujipatie nyumba kwa manufaa yako na familia, kumbuka maisha ni nyumba. Epukana na gharama za kupanga, jipatie nyumba bora na nzuri.
Kwa mawasiliano, 0624 167 441
Wote mnakaribishwa