Behind the scene: Malaysia flight MH370

Behind the scene: Malaysia flight MH370

Ilishawekwa hapa, tushaijadili, a good plot for a Tom Clancy novel. But that's where it seems to end.
 
Ha ha haa acha uvivu fanya research mwenyewe usisubiri kutafuniwa we umeze tu. Fatilia post yangu 'Ndege ya Malaysia yapoteza mawasiliano' ya trh 8 March, hii thread ni comment mojawapo pale huenda itakusaidia


Weka link mkuu.
By the way Kiranga ni mtu wa ku-share ideas, mara nyingi huwa napenda kuhojiananaye na huwa tunafikia hitimisho zuri, ukisoma comment yangu tena, utanielewa.
 
Ilishawekwa hapa, tushaijadili, a good plot for a Tom Clancy novel. But that's where it seems to end.


Sijui kama niliiona mkuu, ila nakumbuka kuna ile post ya awali iliyokuwa na title ya terrorism na mambo ya CIA ila baadaye ikabadilishwa jina na kuwa "Official...". I hope what we said still counts.
 
Weka link mkuu.
By the way Kiranga ni mtu wa ku-share ideas, mara nyingi huwa napenda kuhojiananaye na huwa tunafikia hitimisho zuri, ukisoma comment yangu tena, utanielewa.

Una maanisha link ya thread ama? kwani kuna ishu sijaielewa mkuu? Si ulisema unasubiri Kiranga aje? Kwani yeye anatoa wapi info mkuu, hata wewe pia ukiamua you can do even better than him


https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=617082
 
Sijui kama niliiona mkuu, ila nakumbuka kuna ile post ya awali iliyokuwa na title ya terrorism na mambo ya CIA ila baadaye ikabadilishwa jina na kuwa "Official...". I hope what we said still counts.

Ilikuwa copy paste hii hii, word for word. Another thread, jana au juzi.
 
Una maanisha link ya thread ama? kwani kuna ishu sijaielewa mkuu? Si ulisema unasubiri Kiranga aje? Kwani yeye anatoa wapi info mkuu, hata wewe pia ukiamua you can do even better than him


Ndege ya Malaysia A/line yapoteza mawasiliano


Ndiyo, niliomba link ya post. Asante.
Nilichomaanisha awali ni kwamba. Wewe unaweza kuwa na info ambazo zimekutengenezea mtazamo fulani na mimi naweza kuwa na info hizo hizo ila katika mtazamo mwingine, sasa tukijadili kitu, wewe unaweza kubadili mtazamo wangu au mimi nikabadili wako, au tukapata mtazamo mpya utakaofanana au kuwa tofauti na ile yote (mitazamo yetu) ya awali.
 
Just another denier of religion extremest making up another conspiracy theory. Now tell what happened to the Egyptian airline in nineties when it dived into the atlantic ocean?
 
just thinking.. kwanini baada ya the top 8 security scientists kupata hizo weapons wasingeenda moja kwa moja china in any military base na badala yake wakaenda malaysia?? it would have been soo hard kwa wamarekani kuvamia military base ya mchina... hapo naona kama kuna walakini

Military aircraft ingetunguliwa na Wamarekani. Kwa kutia civilian plane, iliyojaa abiria wa kawaida, walidhani Wamarekani wangeona ugumu kupoteza watu wote! story inachekesha lakini!
 
Tusubiri movie/series ya MH370

Naona script imeshaandaliwa...

Take one ....

Aaaand action.
 
Military aircraft ingetunguliwa na Wamarekani. Kwa kutia civilian plane, iliyojaa abiria wa kawaida, walidhani Wamarekani wangeona ugumu kupoteza watu wote! story inachekesha lakini!

dahh... asante kwa kunifumbua macho mkuu
 
franswa Afghanistani inapakana mpaka na China. Kulikuwa na haja gani kuupeleka huop mzigo Malaysia?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom