BE WARNED:this is for all mmu female members


Makubwa!!
 
hawa wako wengi sn..cha msingi ni gals kua makini jaman...vingnevyo,kuumia ni waziwazi kbs
 
Waswahili wanasema kapu la mjanja mjinga hatii mkono, humu mtandaoni kuna watu ( wadada na wakaka) hiyo ndo stail yao wanamaneno laiiini kumbe mabazazi, Buyer be carefull
 
UKIONA MANYOYA UJUE KASHALIWA ,POLE SANA DADA


 
 
Umeshatendwa nini?
@Ivuga anaekupatia maonyo sio lazima awe amepitia kile asemacho, saa ingine ni revelation tu mtu aweza patiwa na Mungu kwa njia nyingi. Ukweli hajanitenda ila asingekuwa Mungu angefikia huko pa kunitenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…