Nimechaguliwa hii programe ila cjui chochote na prospectus ya udom inazingua. Naomba ufafanuzi kuhusu bcom in finance course gani ziko ndani yake, soko la udom kwenye hii programe na ukimaliza unaweza fanya kazi gani. Ahsante.
hiyo kozi ni nzuri kidogo, mbaya kiasi, huwezi ajiriwa popote, unaweza ajiriwa mahari fulani, mshahara wake ni kiduchu, waweza lipwa mshahara kila baada ya siku moja na nusu plus dakika tatu point nne minus sifuri point yero.....VP UMEELEWA MKUU?
hiyo kozi ni nzuri kidogo, mbaya kiasi, huwezi ajiriwa popote, unaweza ajiriwa mahari fulani, mshahara wake ni kiduchu, waweza lipwa mshahara kila baada ya siku moja na nusu plus dakika tatu point nne minus sifuri point yero.....VP UMEELEWA MKUU?
hiyo kozi ni nzuri kidogo, mbaya kiasi, huwezi ajiriwa popote, unaweza ajiriwa mahari fulani, mshahara wake ni kiduchu, waweza lipwa mshahara kila baada ya siku moja na nusu plus dakika tatu point nne minus sifuri point yero.....VP UMEELEWA MKUU?
Ni kozi ya kawaida ya biashara. Kazi ni naeneo ya bank.credit officers.popote wanapohitaji finance officer etc. Ukijichanganya ukaenda interview ya accountant watakuadhiri. Kazi zipo ila hazitoki mara kwa mara.
Ungeweza kubadili ungechukua finance and banking au economics and finance etc
Nimechaguliwa hii programe ila cjui chochote na prospectus ya udom inazingua. Naomba ufafanuzi kuhusu bcom in finance course gani ziko ndani yake, soko la udom kwenye hii programe na ukimaliza unaweza fanya kazi gani. Ahsante.