BBC Wachemsha

Hukupaswa kufurahia makosa, kila mtu anakosea kiufundi ama kiutendaji

unajua kila siku tumaumia kuona watangazaji wetu local wakivurunda, na huna jinsi ya kuwarekebisha, sasa ikiwa BBC nao..... si tunajitoa machungu mkuu?
 

Acha dharau ww Kenge......... Hiyo habar niliyoelezea hapo juu ni wakenya ndo walikuwa studio..... Hiv Habari inachukua karibia dk 6 bado tu hujajua kwamba hii Habari ime expire? ... Alafu studio walikuwa zaidi ya wa3 ina maana wote Hao walishndwa kugundua? kama si uzembe ni nn?
 
Wana promote ushoga hawa jamaa haina mfano yan
Haipiti wiki bila kuweka story za mashoga kwenye page zao
 

Hata mimi niliisikia hiyohabari na sikuelewa kama mimi ndiye niliyeshindwa kuielewa habari au wao ndiyo waliokosea.
 
Sasa kinachofurahisha nini hapo?? Hutakiwi kufurahi kwa yeyote anayekosea hata watangazaji wetu wa ndani hawapaswi kukoseakosea.

mkuu unasikilizaga local radios? wanavurunda hadi utatamani kuvunja ka-mkulima kako, inapokuja hata BBC wanakosea, we comment as global issue, watangazaji wa sasa .......
 
Hawa BBC walipohamishia tu office zao Dar wameshuka sana kiutendaji. Ile credibility yao yote. imeyeyuka kabisaaaa. Hadi aibu. Twendeni na DW AU RFI SWAHILI
 

sidhani, nadhani ni tatizo la generation.
 


Yaani mimi nilidhani wamekosea kwamba Magufuli atakuwa raisi..!!! kama ni hilo acha tu
 
Wako sahihi ila nyie inaoneka hamfahamu kiswahili wamesema inayodhaniwa inamaana hawana uwakika inaweza kuwa ndio au sio yani ni kitu cha kusadikika jifunzeni lugha nyie msikurupuke
 
Tatizo Amka na BBC huwa inatangazwa ama kutoka studio za Nairobi au Dar, hivyo once again ni makosa ya waandishi wetu wa nyumbani ambayo hata walioko London hawajui
 
Wako sahihi ila nyie inaoneka hamfahamu kiswahili wamesema inayodhaniwa inamaana hawana uwakika inaweza kuwa ndio au sio yani ni kitu cha kusadikika jifunzeni lugha nyie msikurupuke

Ohoooo!!!!!!! tunaongelea muda, soma BOLDS, lini ilipotea? sio suala la debris. UMEKURUPUKA WEWE!
si nimekunongoneza eeh?

hayahaya ndiyo tunayoyaonglea!
 
BBC ni wazushi sana ,Hata watu wanaowaalika kutoa commets kwenye habari zao -wanakuwa BIAS sana. Tukio la EL kuondoka CCM walimwalika kada wa CCM DR. B. Banna -Unatarajia atazungumza nini! kama si ilani ya CCM.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…