BBC News: Did Justin Bieber steal the best bit of Sorry?

Iceberg9

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
24,559
47,002
Did Justin Bieber steal the best bit of Sorry? - Did Justin Bieber steal the best bit of Sorry?

Habari zenu wadau,
Kuna taarifa zimetolewa kwenye chombo cha habari bbc kumuhusisha mwanamuziki Bieber na skendo ya kuiba bit, kwamba bit ya nyimbo SORRY amefanya copy, na mmiliki wa hiyo bit ameanza procedures za kumfungulia bieber mashtaka......

Source:bbc
 
Did Justin Bieber steal the best bit of Sorry? - Did Justin Bieber steal the best bit of Sorry?

Habari zenu wadau,
Kuna taarifa zimetolewa kwenye chombo cha habari bbc kumuhusisha mwanamuziki Bieber na skendo ya kuiba bit, kwamba bit ya nyimbo SORRY amefanya copy, na mmiliki wa hiyo bit ameanza procedures za kumfungulia bieber mashtaka......

Source:bbc
juzi walipiga huo wimbo Goodhope fm ni kijisehem kidogo pale unapoanza ndo unafanana bt sio wimbo wote. kiukweli ukisikia nyimbo inavyoanza huwez kujua ni wimbo wa nani
 
juzi walipiga huo wimbo Goodhope fm ni kijisehem kidogo pale unapoanza ndo unafanana bt sio wimbo wote. kiukweli ukisikia nyimbo inavyoanza huwez kujua ni wimbo wa nani
Ni kweli unavyosema, ila bit kweli ukisikiliza vizuri kuna mfanano, inawezekana justin kachukua idae ya bit ila katengeneza na kuiboresha zaidi kwa namna bit liwe tofauti, ngoja tuone mwisho wake wa hii case
 
dah kama dgo kaiba beat bs huyo anayemiliki beat hana mamlaka ya kumshtaki msanii, mashtaka yaende kwa producer! hata hivo kachelewa sana mana dgo ameingiza mabilioni ya kutosha thru that song.
 
dah kama dgo kaiba beat bs huyo anayemiliki beat hana mamlaka ya kumshtaki msanii, mashtaka yaende kwa producer! hata hivo kachelewa sana mana dgo ameingiza mabilioni ya kutosha thru that song.
Hapo juu kwenye hiyo link click hapo kwenye site utauona huo wimbo na video yake ya huyo white winterland mlalamikaji
 
Mashabiki wa justin bieber baada ya kusikia hizo tuhuma kwenye mitandao wamemtukanaje white winterland mlalamikaji...

Justin's fans have already posted abusive messages on her Facebook page.

"Sorry you have no talent, but don't bring others down because they have what you want but you have zero ability to achieve," writes Taryn Quinn.

"You really think Justin Bieber and Skrillex would rip you off?" says Alec Burriss.

"They've never even heard of you, don't worry. There's only so many pop melodies you can write, get over yourself."

Newsbeat is still waiting for a response from Justin's people.

Ring The Bell was released in early 2014.

Since Sorry was released on 23 October 2015, it's sold more than 2 million copies in America and gone multi-platinum across the world.
 
Ila hizi tabia zipo sana kwa wasanii wakubwa kuwaibia kazi underground artists,
 
If so??!!! What then!! na dogo ndo keshahit na sooooori
Kama kweli dogo justini bieber atakuwa amepatikana na hatia na akakiri ameiba ajiendae kulipa faini,wenzetu wana sheria kali kusimamia kazi za wasanii sio huku Afrika, hivi unakumbuka kilicho wakuta ROBIN THICKE&PHARELL WILLIAMS

In 2015, Robin Thicke and Pharrell Williams lost a two-year court case with Marvin Gaye's family over their hit, 'Blurred Lines'.

The duo were forced to pay $7.3m (£4.8m) in damages after a court ruled their chart-topper breached the copyright of Gaye's 1977 hit Got To Give It Up.
 
Huyo jamaa anatafuta kiki tu bit hazijafanana kabisa kidooogo mwanzo lakini bado sana.
 
Huyo jamaa anatafuta kiki tu bit hazijafanana kabisa kidooogo mwanzo lakini bado sana.
Tusiseme tu huyu msanii winter anatafuta kiki tukaishia hapo kuna hoja nyuma ya pazia, imezoeleka kuwa wasanii wakubwa kuwaibia wasanii wadogo kazi zao hatuwezi kusema ni kiki tu........
 
Back
Top Bottom