BBC: Meli ya kivita ya Urusi yalipuliwa

Hehee hongera zao ila sisi tunapeleka moto tuuuuu!!!
 
Ukraine inaandika kwa kupewa silaha za kivita na USA na EU pamoja na askari wa msaada wa mapambano badala ya kutumia silaha zake halisi, hivi kweli ni akili zako binafsi au dishi lako limeyumba
Hata hao askari wa Russia hawapigani wenyewe. Wanasaidiwa na wapiganaji kutoka Chechnya, Belarus, nk.. na mamluki wanaokodiwa na Putin kutoka Syria na kwingineko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…