Inasemekana kuna mtu aliyekuwa amelazwa kwa kuwa na dalili za ugonjwa wa Ebola alitoroka kuja Tanzania.Chanzo cha taarifa hizi ni BBC.
Nawaomba wananchi wenzangu mchukue hatua za tahadhari hasa mlio Kagera.
Pia wasafiri kutoka maeneo hayo kwani nadhani huyo mtu atakuwa ameshafika huko.
Nawaomba wananchi wenzangu mchukue hatua za tahadhari hasa mlio Kagera.
Pia wasafiri kutoka maeneo hayo kwani nadhani huyo mtu atakuwa ameshafika huko.