akihojiwa na mtangazaji wa bbc katika Dira ya Dunia salim kikeke amesema ametumiwa meseji na mtu asiyemfahamu kuwa watamteka na kumshikilia mpaka serikali itakapo muachia sheikh farid Hadd source Dira ya Dunia. BBC kiswahili. star tv.
Wanabodi,
Japo kwa kifupi tu, Idhaa ya Kiswahili ya BBC jioni hii imemkariri Askofu Augustino Shao wa Kanisa la Katoliki Zanzibar akidai kwamba amepokea ujumbe kupitia simu ya mkononi kwamba maishan yake yapo hatarini kwamba ni sehemu ya watu wanaowindwa na wana Uamsho. Askofu Shao anashangaa ni kwanini serikali inashindwa kudhibiti kikundi hiki cha wahuni?
Aidha kuna TAMKO LA JUMUIYA LITATOLEWA LEO.
Mpaka sasa hakuna dalili yoyote kama Amir Farid ataonekanwa.
Lakini wajue hapatakalika tena hapa tutawachinja Mapadri na Polisi wote kama kuku.
Bububu wapnesha mfano baada ya kumchinja na kumua polisi moja kwa jina anatambulika Said.
Tunatakiwa tuwe makini na askari kanzu kwani wamenza kumagwa.
Tunaiambia Serikali hatukubaliani na tamko lao walotoa jana wao ndio wanahusika moja kwa moja..
Tunataka Amir achiwe kabla ya adhuhuri.
Tuachiwe Tupumuwe.
Hivi ni kweli serikali imeshindwa kuthibiti vurugu hizi? Hawa wahuni wanapata nguvu hizi kutoka wapi?
[h=5]Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina Ma Rais wa 5 (Rais wa Jamhuri (Mbara), Makamu wa Rais (M Zenj), Rais wa Zanzibar (Mzenj), Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar (Mzenj) na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar (Mzenj), hiv ndugu zetu wa Zenj Mnataka nini, Mungu awape nn jaman? na Ndugu zetu mnaochoma Makanisa, Mungu awape nini jaman based on hiyo List....Sisi ni ndugu jaman ee, tuishi kwa aman na kupendana[/h]
Ni Mhashamu Baba Askofu Augustino Shao. Nilikosea, nikarekebisha baada ya kukumbushwa.Nimeshindwa ku edit Title.Kumradhi Baba Askofu Dr.Martin Shao na wana bodiTitle na content mbali mbali. Askofu Agustino Shao na Martin Shao ni watu wawili tofauti. Kuwa makini unapoleta mada usikurupuke. Sasa tuambie alyetishiwa ni Martin Shao au Augustino Shao?
Wanatumia Hekima na busara zaidi
Mikutano ya Chadema Arusha Polisi waliua watu watatu, Morogoro mmoja, Iringa Mwangosi, Mbeya mmoja. Mazingira ya mikutano yote ya Chadema hayakuwa na mapambano yoyte. Iweje sasa Watu wanavamia wizara, wanaua polisi (FFU), wanachoma ofisi za CCM, wanachoma madhabahu na makanisa, wanatoa siku 7 kwa serikali, wanafanya fujo Kariakoo n.k lakini hata kwenzi tu hawapigwi. Kuna siri gani hapa?
Wanabodi,
Japo kwa kifupi tu, Idhaa ya Kiswahili ya BBC jioni hii imemkariri Askofu Augustino Shao wa Kanisa la Katoliki Zanzibar akidai kwamba amepokea ujumbe kupitia simu ya mkononi kwamba maishan yake yapo hatarini kwamba ni sehemu ya watu wanaowindwa na wana Uamsho. Askofu Shao anashangaa ni kwanini serikali inashindwa kudhibiti kikundi hiki cha wahuni?
Aidha kuna TAMKO LA JUMUIYA LITATOLEWA LEO.
Mpaka sasa hakuna dalili yoyote kama Amir Farid ataonekanwa.
Lakini wajue hapatakalika tena hapa tutawachinja Mapadri na Polisi wote kama kuku.
Bububu wapnesha mfano baada ya kumchinja na kumua polisi moja kwa jina anatambulika Said.
Tunatakiwa tuwe makini na askari kanzu kwani wamenza kumagwa.
Tunaiambia Serikali hatukubaliani na tamko lao walotoa jana wao ndio wanahusika moja kwa moja..
Tunataka Amir achiwe kabla ya adhuhuri.
Tuachiwe Tupumuwe.
Hivi ni kweli serikali imeshindwa kuthibiti vurugu hizi? Hawa wahuni wanapata nguvu hizi kutoka wapi?
sasa huyu askofu ndio alie mteka shekh farid ? yaani baada ya kulaani shauri la kutekwa nyara analeta ufedhuli
asiwagombanishe wazanzibar
kwa kauli hizi itaonekana kama kanisa linahusika ....
Rais, Makamu wa rais, IGP, Mkuu wa TISS, Kamanda Kanda Maalumu, wote ni Waislam. Sasa ni nani anayewanyanyasa Waislam kama si akili ndogo tu za mbwa hawa!
Mikutano ya Chadema Arusha Polisi waliua watu watatu, Morogoro mmoja, Iringa Mwangosi, Mbeya mmoja. Mazingira ya mikutano yote ya Chadema hayakuwa na mapambano yoyte. Iweje sasa Watu wanavamia wizara, wanaua polisi (FFU), wanachoma ofisi za CCM, wanachoma madhabahu na makanisa, wanatoa siku 7 kwa serikali, wanafanya fujo Kariakoo n.k lakini hata kwenzi tu hawapigwi. Kuna siri gani hapa?